Tuesday 13th, May 2025
@Uwanja wa Jamhuri, Mkoani Dodoma
Wananchi wa Mkoa wa Dodoma na Mikoa jirani wanakaribishwa kuhudhuria maadhimisho ya Miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa mwaka huu ambayo yanatarajia kufanyika kitaifa Mkoani Dodoma. Kauli mbiu ya Maadhimisho hayo ni “Uhuru wetu ni Tunu, Tuudumishe, Tulinde Rasilimali zetu, Tuwe Wazalendo, Tukemee Rushwa na Uzembe”.
Hakimiliki ©2023 Habari - MAELEZO