• Wasiliana Nasi
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Baruapepe za Watumishi
    • Malalamiko
Idara ya Habari MAELEZO
Idara ya Habari MAELEZO

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Idara ya Habari MAELEZO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Idara ya Habari
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Watumishi wa Idara
    • Muundo wa Idara
    • Vitengo
  • Huduma zetu
    • Ukumbi wa Mikutano
    • Taratibu za leseni
    • Kitambulisho cha Mwanahabari
    • Tozo za Huduma
  • Machapisho
    • Sheria
    • Kanuni
    • Fomu
    • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Mnato
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoanza
    • Miradi Ijayo
  • Dawati la Matangazo

Kuhusu Sisi

Idara ya Habari (MAELEZO) ipo chini ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa
na Michezo, ikiwa na jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera,
Mipango na Miradi ya Maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi,
kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri
Serikali juu ya sera na sheria za habari.

Idara iliundwa mwaka 1945 wakati wa Vita ya Pili ya Dunia. Wajibu wa Idara
kwa wakati huo kwa kushirikiana na magazeti mbalimbali yakiwemo Mambo Leo
na Habari za Leo ilikuwa ni kuwajulisha wananchi kuhusu maendeleo ya vita.
Aidha kwa wakati huo, Idara ilikuwa na jukumu la kupiga picha mbalimbali za
matukio ya Serikali yanayotokea ndani na nje ya nchi.


Kati ya mwaka 1961-1962 majukumu ya Idara ya Habari yaliwekwa chini ya
Wizara ya Elimu na Habari. Baadaye mwaka 1962-1964 yalibadilishwa na
kuhamishiwa katika Ofisi ya Makamu wa Rais, kabla ya kurejeshwa katika
Wizara ya Habari na Utalii mwaka 1964-1971.

Kuanzia mwaka 1979-1984, Idara iliwekwa chini ya Wizara ya Habari na
Utangazaji na baadae Wizara ya Habari na Utamaduni. Mwaka 1991 Idara
ilirejeshwa tena katika Ofisi ya Makamu wa Rais na baadaye kuhamishiwa
katika Ofisi ya Waziri Mkuu kati ya mwaka 2005-2008.

Kutoka 2008 hadi sasa Idara ya Habari ipo chini ya Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo, ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Dkt. Hassan
Abbasi. Kwa sasa Idara ina sehemu kuu tatu ambazo ni Sehemu ya Habari na
Huduma za Picha, Sehemu ya Uratibu na Usajili na Sehemu ya Uratibu wa
Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • Launch of 2019 SADC Media Awards February 13, 2019
  • Orodha ya Magazeti na Majarida ambayo Hayajahuisha Leseni ya Uchapishaji Serikalini February 05, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • JPM AMTANGAZA JAJI GALEBA KUWA SHUJAA WA KISWAHILI KATIKA SHERIA

    February 02, 2021
  • Tamasha la Serengeti Music and Arts Festival kufanyika Desemba 16,2020

    December 02, 2020
  • Serikali kutoa suluhu la Mawakala wa Usambazaji wa Muziki katika “Digital Platform”

    December 02, 2020
  • Uapisho wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

    November 05, 2020
  • Angalia zote

Wasiliana Nasi

Makole, Uhindini

S.L.P: 25 Dodoma

Simu: +255-22-2771005

Nukushi:

Email: maelezo@habari.go.tz

Simu ya Kiganjani:

Kiunganishi cha Haraka

  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari
  • Kanuni za Sheria za Huduma za Habari za Mwaka 2017
  • Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016
  • Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka 2017/18
  • Tamko la Serikali kuhusu Matumizi ya Picha za Marais Wastaafu katika Sakata la Usafirishaji wa Mchanga wa Madini
  • Hotuba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe akifungua mkutano wa 33 wa Jumuiya ya Mitaa Tanzania (ALAT)
  • Fomu ya Kitambulisho cha Mwanahabari aliyopo nje ya Tanzania
  • MAELEZO PODCASTS 2020

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Zanzibar
  • Tovuti ya Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Tovuti ya Ofisi ya Makamu wa Rais
  • Tovuti ya Rais-IKULU
  • Southern African Development Community

Video za Hivi Karibuni

More Videos
    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2019 GWF. Haki zote zimehifadhiwa.