Idara iliundwa mwaka 1945 wakati wa Vita ya Pili ya Dunia.
TAARIFA FEKI: MHESHIMIWA RAIS SAMIA HAJASEMA MANENO HAYA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, hajatamka maneno haya. Uzushi huu unatengenezwa na wenye nia ovu. WAPUUZWE!
TAARIFA FEKI: HAKUNA MKOPO WA NAMNA HII
Jitahadharini na matapeli. Hakuna mikopo ya namna hii inayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wala Serikali.
Thibitisha / Fact Check