TAARIFA FEKI: MHESHIMIWA RAIS SAMIA HAJASEMA MANENO HAYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, hajatamka maneno haya. Uzushi huu unatengenezwa na wenye nia ovu. WAPUUZWE!

TAARIFA FEKI: HAKUNA MKOPO WA NAMNA HII

Jitahadharini na matapeli. Hakuna mikopo ya namna hii inayotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan wala Serikali.

Thibitisha / Fact Check

Thibitisha Taarifa Zote na Maelezo

© 2026 Idara ya Habari-MAELEZO. 

Get the App

Get it on

Microsoft Store

Available on the

App Store