Idara iliundwa mwaka 1945 wakati wa Vita ya Pili ya Dunia.
Takwimu zaidi >>
HUDUMA ZETU
Idara ya Habari-MAELEZO ina jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na Miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya sera na sheria za habari.
Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Bw. Gerson Msigwa
Katibu Mkuu na Msemaji Mkuu wa Serikali
KARIBU
Idara ya Habari-MAELEZO ina jukumu la kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa Sera, mipango na Miradi ya maendeleo vinavyotekelezwa na Serikali kwa wananchi, kusimamia vyombo vya habari hasa magazeti na machapisho na kuishauri Serikali juu ya sera na sheria za habari.
KALENDA YA MATUKIO
Hii ni ratiba ya matukio yote, kwa mwaka mzima Serikalini. Usiache kufuatilia ukurasa huu. Bofya 'Soma zaidi" ili kupata ratiba kamili.
TIMU YETU
MAELEZO PODCASTS
Sikiliza MAELEZO PODCASTS, Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania kupata taarifa na matukio mbalimbali nchini Tanzania. Tunapatikana katika mitandao ya kijamii na chaneli mbalimbali ikiwemo Spotify, Apple Podcasts, Amazon music, Audiomack, SoundCloud, Castbox n.k. Usiache kufuatilia!

Sikiliza MAELEZO PODCASTS. Podcasts za Kiswahili kutoka Idara ya Habari MAELEZO, Tanzania
Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame, amefanya ziara ya siku moja nchini Tanzania, akizungumza na mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhusu ushirikiano na kukuza uchumi wa pande zote, Mei 3, 2026.
Viongozi hawa walikubaliana kuendelea kukuza biashara na uwekezaji kwa kuondoa vikwazo vya kikodi, ili kunufaika na masoko ya kikanda ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Eneo Huru la Biashara la Afrika (AfCFTA).
Idara ya Habari MAELEZOÂ

Blogu
BARUA PEPE